Diego Costa akishangilia kwa kuinua vidole juu baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Locomotiv Moscow usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Europa League. Mabao mengine ya Atletico Madrid yamefungwa na Saul Niguez dakika ya 22 na Koke dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shams: Giannis, Damian Lillard in Doubt for Bucks-Pacers Game 5 Due to
Injuries
-
The Milwaukee Bucks may be significantly shorthanded once again when they
take on the Indiana Pacers in Tuesday's Game 5 of their first-round playoff
series.…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment