Wachezaji wa Real Madrid wakiwa wanyonge baada ya sare ya 2-2 na wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa de Balaidos mjini Vigo inayozidi kuwaondoa kwenye mbio za ubingwa, sasa wakizidiwa pointi 16 na vinara Barcelona. Mabao ya Real Madrid jana yalifungwa na Gareth Bale yote dakika za 36 na 38, wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Daniel Wass dakika ya 33 na Maxi Gomez dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian Wright and Alan Shearer rip apart Anthony Taylor's 'very messy'
decision which denied Cody Gakpo a clear goalscoring opportunity in
Liverpool's 2-2 draw with West Ham
-
The Reds' title hopes took yet another dent as there were held by David
Moyes ' men at the London Stadium, with the game including a controversial
call by ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment