Wachezaji wa Real Madrid wakiwa wanyonge baada ya sare ya 2-2 na wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa de Balaidos mjini Vigo inayozidi kuwaondoa kwenye mbio za ubingwa, sasa wakizidiwa pointi 16 na vinara Barcelona. Mabao ya Real Madrid jana yalifungwa na Gareth Bale yote dakika za 36 na 38, wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Daniel Wass dakika ya 33 na Maxi Gomez dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ralf Schumacher, 50, marries Etienne Bousquet-Cassagne, 36, as ex-F1 star
ties the knot with his partner in glitzy St Tropez bash 19 months after
coming out as gay
-
Former F1 star Ralf Schumacher tied the knot with Etienne Bousquet-Cassagne
in a glitzy ceremony in St Tropez on Saturday - with the event being filmed
to ...
11 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment