Beki wa kulia, Hector Bellerin akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 90+2 ikipata sare ya 2-2 na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la kiungo Jack Wilshere dakika ya 63, kabla ya Chelsea kutoka nyuma na kuongoza kwa 2-1 kwa mabao ya mshambuliaji Eden Hazard dakika ya 67 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bellerin na Marcos Alonso dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Preview: Motherwell star Tawanda Maswanhise has huge potential... but
he should stay put for now
-
You'd have to be a brave soul to pick a fight with Motherwell boss Jens
Berthel Askou. Yes, the Dane certainly comes across as an affable fellow,
but he is...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment