Beki wa kulia, Hector Bellerin akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 90+2 ikipata sare ya 2-2 na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la kiungo Jack Wilshere dakika ya 63, kabla ya Chelsea kutoka nyuma na kuongoza kwa 2-1 kwa mabao ya mshambuliaji Eden Hazard dakika ya 67 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bellerin na Marcos Alonso dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool fans are left baffled by 'silly' talks to sell club legend Andy
Robertson to Tottenham, fearing leadership void as they take aim at squad
planning
-
Arne Slot's side have received an approach from Spurs about getting a deal
done this window, after Thomas Frank lost defender Ben Davies to a broken
ankle ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment