Beki wa kulia, Hector Bellerin akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 90+2 ikipata sare ya 2-2 na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la kiungo Jack Wilshere dakika ya 63, kabla ya Chelsea kutoka nyuma na kuongoza kwa 2-1 kwa mabao ya mshambuliaji Eden Hazard dakika ya 67 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bellerin na Marcos Alonso dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Surprise Premier League star is Real Madrid's new 'number one target' as
the Spanish giants view William Saliba and Ibrahima Konate as too expensive
-
It is understood that the Galacticos' sporting directors are already
planning the squad for the next year and see the Premier League star as a
leading cont...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment