Beki wa kulia, Hector Bellerin akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya 90+2 ikipata sare ya 2-2 na Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la kiungo Jack Wilshere dakika ya 63, kabla ya Chelsea kutoka nyuma na kuongoza kwa 2-1 kwa mabao ya mshambuliaji Eden Hazard dakika ya 67 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bellerin na Marcos Alonso dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel 'is on Man United's shortlist' if Sir Jim Ratcliffe decides
to replace Erik ten Hag - with the German set to leave Bayern Munich in the
summer despite fan protests
-
The German is poised to leave Bayern Munich at the end of the season, as
announced in February , even though more than 19,000 supporters have signed
a peti...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment