Ousmane Dembele akiburuza mpira baada ya kuingia zikiwa zimebaki dakika 20 kwa mara ya kwanza baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kwa sababu ya maumivu Barcelona ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Balaidos mjini Vigo. Barca walitangulia kwa bao la Jose Arnaiz dakika ya 15, kabla ya Pione Sisto kuwasawazishia wenyeji dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes tears into Michael Carrick and calls Man United 'c**p' under
him in remarkable attack after his first defeat in eight games - despite
playing together 160 times
-
United were beaten 2-1 by Newcastle after William Osula's stunning
90th-minute winner at St James' Park, where Carrick grew up watching
football.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment