Ousmane Dembele akiburuza mpira baada ya kuingia zikiwa zimebaki dakika 20 kwa mara ya kwanza baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kwa sababu ya maumivu Barcelona ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Balaidos mjini Vigo. Barca walitangulia kwa bao la Jose Arnaiz dakika ya 15, kabla ya Pione Sisto kuwasawazishia wenyeji dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Referee chiefs' Howard Webb 'will admit Nottingham Forest SHOULD have had a
penalty in Everton defeat'... but Nuno Espirito Santo's side 'still face
FOUR FA charges' for publicly blasting officials
-
Howard Webb, the head of Premier League refereeing, will admit Nottingham
Forest should have had a penalty in their controversial defeat to Everton
earlier...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment