Ousmane Dembele akiburuza mpira baada ya kuingia zikiwa zimebaki dakika 20 kwa mara ya kwanza baada ya kuwa nje kwa muda mrefu kwa sababu ya maumivu Barcelona ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Balaidos mjini Vigo. Barca walitangulia kwa bao la Jose Arnaiz dakika ya 15, kabla ya Pione Sisto kuwasawazishia wenyeji dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment