Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo asubuhi kutokea Kenya ambako walikwenda kushiriki michuano ya CECAFA Challenge. Bara ilifungwa mechi zote 2-1 mara mbili na Zanzibar na Rwanda na 1-0 na Kenya baada ya kutoa sare ya 0-0 na Libya kwenye mechi ya kwanza, ambayo wapinzani wao kutoka Kaskazini mwa Afrika walinyimwa bao zuri.
Robert Kraft delivers message to Vladimir Putin over Super Bowl ring at Tom
Brady roast after Russian leader has held it for nearly two decades
-
It's been 19 years since one of the Super Bowl championship rings owned by
Robert Kraft was taken by Russian leader Vladimir Putin. Kraft hasn't
forgotten.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment