Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo asubuhi kutokea Kenya ambako walikwenda kushiriki michuano ya CECAFA Challenge. Bara ilifungwa mechi zote 2-1 mara mbili na Zanzibar na Rwanda na 1-0 na Kenya baada ya kutoa sare ya 0-0 na Libya kwenye mechi ya kwanza, ambayo wapinzani wao kutoka Kaskazini mwa Afrika walinyimwa bao zuri.
Trade disruption from Iran war ‘not good for the British economy’, Reeves
says
-
The Chancellor called for rapid de-escalation of the conflict to protect
the UK economy.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment