Mfungaji wa bao la kwanza la Manchester United, Marcus Rashford dakika ya saba tu katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford akishangilia baada ya kumpa raha kocha wake, Jose Mourinho. Bao la pili la United limefungwa na Ander Herrera dakika ya 49. Pamoja na kufungwa Chelsea inaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 75 za mechi 32 wakati United pia inaendelea kushika nafasi ya tano kwa pointi zake 60 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher criticises Tottenham's 'academy' defending in defeat by
Nottingham Forest as he brands them 'naive' and hits out at Ange
Postecoglou's approach
-
Jamie Carragher criticised Tottenham following their defeat by Nottingham
Forest as he claimed that Ange Postecoglou's side resemble an 'academy'
team defe...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment