Mfungaji wa bao la kwanza la Manchester United, Marcus Rashford dakika ya saba tu katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford akishangilia baada ya kumpa raha kocha wake, Jose Mourinho. Bao la pili la United limefungwa na Ander Herrera dakika ya 49. Pamoja na kufungwa Chelsea inaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 75 za mechi 32 wakati United pia inaendelea kushika nafasi ya tano kwa pointi zake 60 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Clippers' Paul George mocks PJ Washington as he recreates the Mavs star's
pose from Game 3 after hitting a shot over him... before LA nearly blows a
31-point lead in dramatic win over Dallas
-
Paul George mockingly recreated PJ Washington's arms-crossed pose from the
other night on Sunday as the Clippers evened the series vs. the Mavs.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment