• HABARI MPYA

    Thursday, April 27, 2017

    MKUBWA NA MWANAWE PATAKUWA HAPATOSHI WEMBLEY JUMAMOSI

    Mabondia Anthony Joshua (kushoto) na Wladimir Klitschko (kulia) wakigonganisha ngumi huku wakitazamana wakati wa zoezi la kupima uzito leo kuelekea pambano lao la Jumamosi Uwanja wa Wembley, London kuwania ubingwa wa uzito wa juu wa dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKUBWA NA MWANAWE PATAKUWA HAPATOSHI WEMBLEY JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top