Luis Suarez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 87 katika ushindi wa 3-0 usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Espanyol. Bao lingine la Barcelona katika mchezo huo wa mahasimu wa Katalunya lilifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alphonso Davies 'is nearing a summer move to Real Madrid amid contract
standoff with Bayern Munich'... as the player's agent slams the club's
negotiating tactics after 'attacks' on the player
-
Alphonso Davies has been issued with a contract ultimatum by Bayern Munich,
with the player's representative hitting out at the club for their 'unfair'
neg...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment