Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I saw how Newcastle got relegated in 2009... here's the proof Spurs are not
too good to go down and why making a change now is key, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE: It was in March of 2009 that Newcastle, the team too good to go
down, stumbled into a relegation zone from which they would emerge only
briefly.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment