Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment