Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mo Salah is 'the most selfish player I have ever witnessed' and disappears
when the going gets tough, says Graeme Souness in scorchingly honest
opinion of Liverpool's star man
-
Doubts have been raised this week over whether Salah will stay at the
Merseyside club past this summer, after the 31-year-old was embroiled in a
touchline ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment