Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 12 na 61 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Osasuna usiku wa leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Andre Gomes dakika ya 30 na 57, Paco Alcecer dakika ya 64 na 86 na Javier Mascherano kwa penalti dakika ya 67 na la Osasuna limefungwa na Roberto Torres dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man who fatally shot ex-Saints star Will Smith after 2016 car crash gets 25
years in jail
-
Cardell Hayes, 36, was convicted of manslaughter in Dec. 2016 but the jury
vote had been 10-2 and the conviction was later tossed after the US Supreme
Cour...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment