Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 12 na 61 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Osasuna usiku wa leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Andre Gomes dakika ya 30 na 57, Paco Alcecer dakika ya 64 na 86 na Javier Mascherano kwa penalti dakika ya 67 na la Osasuna limefungwa na Roberto Torres dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kaduna gets new NSCDC commandant
-
From Noah Ebije, Kaduna A new state commandant of the Nigeria Security and
Civil Defence Corps (NSCDC) has assumed office at the Kaduna State Command.
Th...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni