Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 12 na 61 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Osasuna usiku wa leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Andre Gomes dakika ya 30 na 57, Paco Alcecer dakika ya 64 na 86 na Javier Mascherano kwa penalti dakika ya 67 na la Osasuna limefungwa na Roberto Torres dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The moment that 'ended' Jack Grealish's Man City career: £100m man is told
he has to leave - after brutal FA Cup final snub by Pep Guardiola sealed
his fate
-
Grealish has found himself further down the pecking order this season, with
the 39-cap England international having started just seven Premier League
games...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment