Picha ya kubumba iliyopostiwa na @Garcia_Itaipu ikimuonyesha mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akicheza shindano la dansi la mtaani. Picha hiyo imetokana na tukio la kuangukia kichwa na Muargentina huyo Jumatano wakati wa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus timu hizo zikitoka sare ya 0-0 Uwanja wa Camp Nou na Barca kuaga kwa kipigo cha 3-0 walichopewa mjini Torino, Italia wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Just not good enough' - Klopp takes blame for derby defeat
-
Liverpool manager Jurgen Klopp says his side were "just not good enough" in
their 2-0 Premier League defeat to Merseyside rivals Everton at Goodison
Park.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment