Picha ya kubumba iliyopostiwa na @Garcia_Itaipu ikimuonyesha mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akicheza shindano la dansi la mtaani. Picha hiyo imetokana na tukio la kuangukia kichwa na Muargentina huyo Jumatano wakati wa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus timu hizo zikitoka sare ya 0-0 Uwanja wa Camp Nou na Barca kuaga kwa kipigo cha 3-0 walichopewa mjini Torino, Italia wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Indefensible' and 'unacceptable' - furious Rosenior questions Chelsea's
desire
-
Chelsea boss Liam Rosenior strongly criticises his players after they
suffer a fifth loss in a row without scoring for first time since 1912.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment