Cristiano Ronaldo akiwa hewani kupigwa kichwa kuipatia bao la kuongoza Real Madrid dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Valencia usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Ronaldo pia alikosa penalti dakika ya 56, ambayo iliokolewa na kipa Diego Alves aliyefanya hivyo kwa mara ya 26 katika mikwaju 53 ya matuta aliyowahi kupigiwa. Valencia walitangulia kwa bao la Dani Parejo dakika ya 82, kabla ya Marcelo kuisawazishia Real Madrid dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Freddie Flintoff opens up 'learning to accept' the scars of his near-fatal
Top Gear crash as footage is seen for the first time - and reveals details
of his eight-month recovery
-
Speaking on The Jonathan Ross Show, Flintoff admitted he did not leave the
house for around six to seven months as he attempted to cope mentally with
his s...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment