Refa David Fields kutoka Marekani akimuondoa bondia Anthony Joshua (kushoto) huku mpinzani wake, Wladimir Klitschko akijikokota kuinuka baada ya kuanguka usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London katika pambano la uzito wa juu. Joshua alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 11 na kutwaa mataji ya IBF, WBA na IBO na ndiye anakuwa bingwa mpya asiyepingika wa uzito wa juu duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment