Refa David Fields kutoka Marekani akimuondoa bondia Anthony Joshua (kushoto) huku mpinzani wake, Wladimir Klitschko akijikokota kuinuka baada ya kuanguka usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London katika pambano la uzito wa juu. Joshua alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 11 na kutwaa mataji ya IBF, WBA na IBO na ndiye anakuwa bingwa mpya asiyepingika wa uzito wa juu duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marty Sheargold's replacement is revealed after radio star was dumped over
his sexist outburst about the Matildas
-
Sheargold was let go by Triple M just days after he made the disgraceful
comments about the national team - with a very well-known footy great to
step in b...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment