Henrikh Mkhitaryan akimsaidia fedha ombaomba na mtu asiye na makazi Jiji la Manchester jana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Armeniaa kupata chakula katika mgahawa wa Kitaliano, San Carlo Jumatatu ya Pasaka. Mkhitaryan alikuwa benchi muda wote Jumapili Mashetani Wekundu wakiwafunga 2-0 Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Duke vs. UNC live updates, score: Blue Devils, Tar Heels clash in ranked
battle to end regular season
-
Duke is out for revenge after the Tar Heels won the rivalry matchup last
month in dramatic fashion.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment