Henrikh Mkhitaryan akimsaidia fedha ombaomba na mtu asiye na makazi Jiji la Manchester jana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Armeniaa kupata chakula katika mgahawa wa Kitaliano, San Carlo Jumatatu ya Pasaka. Mkhitaryan alikuwa benchi muda wote Jumapili Mashetani Wekundu wakiwafunga 2-0 Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’m not just here to sing; I’m here to create experience –Ortez
-
It’s the dawn of a new era, as electrifying singer/songwriter, Olorunfemi
Otedola Damilola aka Ortez, is crowned the new face of the industry. With a
voi...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment