Henrikh Mkhitaryan akimsaidia fedha ombaomba na mtu asiye na makazi Jiji la Manchester jana baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Armeniaa kupata chakula katika mgahawa wa Kitaliano, San Carlo Jumatatu ya Pasaka. Mkhitaryan alikuwa benchi muda wote Jumapili Mashetani Wekundu wakiwafunga 2-0 Chelsea katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment