Nacho Monreal wa Arsenal akikimbia kushangilia baada ya shuti lake kumbabatiza beki wa mabingwa watetezi, Leicester City, Robert Huth na kujifunga dakika ya 86 kuwapatia Washika Bunduki wa London bao pekee la ushindi wa 1-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Naomi Osaka Loses to Amanda Anisimova in Straight Sets in Round 1 of 2022 French Open
-
Naomi Osaka has once again exited the French Open early. Amanda Anisimova
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni