Nacho Monreal wa Arsenal akikimbia kushangilia baada ya shuti lake kumbabatiza beki wa mabingwa watetezi, Leicester City, Robert Huth na kujifunga dakika ya 86 kuwapatia Washika Bunduki wa London bao pekee la ushindi wa 1-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Guimaraes' Newcastle future is up in the air, reveals Eddie Howe - as
Arsenal weigh up fresh £70m offer
-
Eddie Howe says he doesn't know what will happen with Newcastle United
midfielder Bruno Guimaraes' future.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment