Nacho Monreal wa Arsenal akikimbia kushangilia baada ya shuti lake kumbabatiza beki wa mabingwa watetezi, Leicester City, Robert Huth na kujifunga dakika ya 86 kuwapatia Washika Bunduki wa London bao pekee la ushindi wa 1-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Asante Kotoko target Bechem United goalkeeper Dari Aziz Haruna as possible
replacement for Frederick Asare
-
Ghanaian giants Asante Kotoko have lined up Bechem United goalkeeper Dari
Aziz Haruna as a replacement for Frederick Asare.The 25-year-old, who
joined Koto...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment