Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Guimaraes' Newcastle future is up in the air, reveals Eddie Howe - as
Arsenal weigh up fresh £70m offer
-
Eddie Howe says he doesn't know what will happen with Newcastle United
midfielder Bruno Guimaraes' future.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment