Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chinese Grand Prix's sole practice session disrupted by unexplained FIRE
appearing trackside... with Aston Martin's Lance Stroll beating Max
Verstappen and Lewis Hamilton ahead of this weekend
-
Aston Martin's Lance Stroll was the surprise name at the top of the
leaderboard in the sole practice session for this weekend's Chinese Grand
Prix, which w...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment