Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Leeds' promotion celebrations: Former Man United youngster in the
thick of it with the mic as players party and fans gather outside Elland
Road in their thousands
-
Daniel Farke 's side were on the brink of returning to the top flight
following their match at Elland Road on the same day, with the league
leaders thrashi...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment