Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 101 wakiilaza Manchester City 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la FA England iliyodumu kwa dakika 120 leo Uwanja wa Wembley, London. Sergio Aguero alianza kuifungia Man City dakika ya 62, kabla ya Nacho Monreal kuisawazishia Arsenal dakika ya 71 na sasa Washika Bunduki wa London watakutana na Chelsea katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag unveiled as Manchester United manager LIVE: Updates as Dutchman begins reign
-
Erik ten Hag's tenure at Manchester United begins today and the Dutchman is
set to be unveiled by the Old Trafford club this afternoon. Follow
Sportsmail's...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni