• HABARI MPYA

    Monday, April 24, 2017

    PUMZIKA KWA AMANI POINTI TATU ZA MEZANI!

    Bajaji ikiwa imeandikwa TFF ilitoa, TFF imetwaa, Jina lao Lihimidiwe kuwatania wapenzi wa klabu ya Simba kufuatia kupewa pointi tatu za mezani na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi Tanzania, maarufu kama Kamati ya Saa 72 na baadaye kupokonywa na Kamati ya Katiba Sheria na Hadhi za Wachezaji ya shirikisho hilo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PUMZIKA KWA AMANI POINTI TATU ZA MEZANI! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top