Lionel Messi akiwa amebebwa na Jordi Alba baada ya kuifungia bao la ushindi Barcelona dakika ya 90 na ushei wakiwalaza 3-2 wenyeji, Real Madrid usiku huu Uwanja wa Santiago Bernabeu, Madrid katika mchezo wa La Liga. Messi amefunga mabao mawili leo, lingine dakika ya 33 huku bao lingine la Barca likifungwa na Ivan Rakitic dakika ya 73 na ya Real Madrid yamefungwa na Carlos Henrique Casemiro dakika ya 28 na James Rodriguez dakika ya 85. Real Madrid ilimaliza pungufu mechi hiyo baada ya beki wake, Sergio Ramos kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 77 kwa kumchezea rafu Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Group to Tinubu: Probe $1.5bn earmarked for Port Harcourt refinery repairs
-
From Okwe Obi, Abuja The Situation Room on Transparency and
Accountability, has urged President Bola Tinubu, to probe the US$1.5
billion budgeted for r...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment