James Rodriguez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 14 na 66 katika ushindi wa Real Madrid wa 6-2 dhidi ya wenyeji Deportivo La Coruna usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya kwanza, Lucas Vazquez dakika ya 44, Isco dakika ya 77 na Casemiro dakika ya 87 wakati ya wenyeji yalifungwa na Florin Andone dakika ya 35 na Joselu dakika ya 84. Kocha Zinadine Zidane hakutumia wachezaji tisa aliowaanzisha Jumapili wakifungwa 3-2 na Barcelona, akiwemo Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League team most likely to MISS OUT on Champions League
qualification as Opta supercomputer makes prediction after top-five battle
took another huge twist
-
Chelsea were the only one of the main contenders to win in the latest
midweek round of matches after beating rivals Aston Villa as Manchester
United and Li...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment