Rais wa Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Mhandisi Moses Magogo (kushoto) akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi jezi ya timu ya taifa ya Uganda, The Cranes waliyoitumia katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Januari mwaka huu. Zoezi hilo lilifanyika mjini Kampala, Uganda jana baada ya kikao cha Marais wa vyama na Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati
Veteran Rodgers says he will retire after 2026 season
-
Veteran quarterback Aaron Rodgers says he will retire at the end of the
2026 NFL season after signing a new one-year contract with the Pittsburgh
Steelers.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment