Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who blinks first over Reiss Nelson? – Opinion
-
With Arsenal expected to continue trimming the squad before the transfer
window closes, Reiss Nelson’s future remains one of the more intriguing
situations...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment