Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Borthwick banks on bibs to beat Italy and ease brewing crisis
-
Steve Borthwick has abandoned his philosophy of continuity and cohesion in
the hope that selection shock therapy will cure his England side's malaise.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment