Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defending tennis champion snubbed by Queen's hits out at lack of 'respect'
after tournament failed to grant her a wildcard one year on from
mum-of-two's heartwarming victory
-
TAMARA PRENN AT QUEEN'S CLUB: The 38-year-old was crowned the Queen of
Queen's last year with her underdog victory in the final against Amanda
Anisimova.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment