Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Thuram trolls rivals AC Milan as Frenchman celebrates winning Serie
A by draping an Inter Milan shirt over a Rossoneri corner flag... before
thanking 'his best uncle' Thierry Henry
-
Joyous scenes erupted at full-time after Inter secured their 27th victory
of the season in the Derby della Madonnina, with Inzaghi's side having
stormed to...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment