Kocha wa Newcastle, Rafa Benitez (katikati) akipongezana na wachezaji wake baada ya kufanikiwa kurejea Ligi Kuu ya England jana kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Preston North End katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Uwanja wa St. James' Park. Newcastle imefikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 44 na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Brighton & Hove Albion wenye pointi 92 za mechi 44 ambao pia wamepanda Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Guimaraes' Newcastle future is up in the air, reveals Eddie Howe - as
Arsenal weigh up fresh £70m offer
-
Eddie Howe says he doesn't know what will happen with Newcastle United
midfielder Bruno Guimaraes' future.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment