Kocha wa Newcastle, Rafa Benitez (katikati) akipongezana na wachezaji wake baada ya kufanikiwa kurejea Ligi Kuu ya England jana kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Preston North End katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Uwanja wa St. James' Park. Newcastle imefikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 44 na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Brighton & Hove Albion wenye pointi 92 za mechi 44 ambao pia wamepanda Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defending tennis champion snubbed by Queen's hits out at lack of 'respect'
after tournament failed to grant her a wildcard one year on from
mum-of-two's heartwarming victory
-
TAMARA PRENN AT QUEEN'S CLUB: The 38-year-old was crowned the Queen of
Queen's last year with her underdog victory in the final against Amanda
Anisimova.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment