Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 0-1 Tottenham: Spurs earn first victory of the year thanks to late
Joao Palhinha strike - but it's NOT enough to climb them out of the
relegation zone as West Ham win
-
Stop the clock. After 118 days and 15 games in the Premier League under
three different managers, Tottenham have done it.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment