Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi na Real Madrid Uwanja wa Valdebebas leo kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Bernabeu. Real inahitaji hata sare kusonga mbele baada ya ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita mjini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Starmer will tell ministers who back Burnham to quit
-
Sir Keir Starmer is expected to tell ministers they must resign if they
back Andy Burnham in a future Labour leadership contest.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment