Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 3-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 66, Gary Cahill dakika ya 79 na Willian dakika ya 86 na sasa The Blues wanafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 34, wakiendelea kuongoza ligi hiyo, wakifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 73 za mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nic Claxton Contract a 'Priority' in 2024 NBA Free Agency, Nets HC
Fernández Says
-
Newly installed Brooklyn Nets head coach Jordi Fernández made it abundantly
clear he considers fifth-year center Nic Claxton to be a big part of the…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment