Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 3-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 66, Gary Cahill dakika ya 79 na Willian dakika ya 86 na sasa The Blues wanafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 34, wakiendelea kuongoza ligi hiyo, wakifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 73 za mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
12 arrested in phone theft racket
-
Rwanda National Police (RNP) has arrested at least 12 people in the City of
Kigali, who were changing the International Mobile Equipment Identity
(IMEI) ...
Dakika 4 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni