Robert Lewandowski (kushoto) akishangilia na wenzake baada ya kuiwezesha Bayern Munich kutwaa taji la tano mfululizo la Ligi Kuu Ujerumani, iitwayo Bundesliga kufuatia ushindi wa 6-0 dhidi ya Wolfsburg usiku wa jana Uwanja wa Volkswagen Arena. Lewandowski alifunga mabao mawili dakika za 36 na 45, David Alaba dakika ya 19, Arjen Robben dakika ya 66, Thomas Muller dakika ya 80 na Joshua Kimmich dakika ya 85, wakati kiungo wa zamani wa Bayern, Luis Gustavo alitolewa kwa kadi nyekundu upande wa Wolfsburg PICHA ZAIDI GONGA HAPA
RAW after WrestleMania RESULTS: Seth Rollins and Paul Heyman reveal a third
man, top WWE star turns heel and a major talent returns after five years
away
-
Seth Rollins and Paul Heyman were the talk of the industry on Saturday
night after their stunning heel turn at the close of WrestleMania 41's
night one and...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment