Nyota wa Chelsea, N'Golo Kante akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England kwa msimu wa 2016-2017, baada ya kukabidhiwa jana jioni katika ukumbi wa hoteli ya Grosvenor mjini London kufuatia kuwashinda mchezaji mwenzake, Eden Hazard, Harry Kane wa Tottenham, Zlatan Ibrahimovic wa Manchester United, Romelu Lukaku wa Everton na Alexis Sanchez wa Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Hayes and Kerr win Barclays Manager, Player of the Season awards
-
Chelsea's Emma Hayes has been named as the Barclays FA Women’s Super League
Manager of the Season for 2021/22. Hayes led the Blues to yet another title
win...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni