Diego Costa akishangilia baada ya kufunga bao lake la pili jana dakika ya 89, baada ya kufunga lingine dakika ya 53 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard dakika ya tano na Gary Cahill dakika ya 45 na ushei, wakati ya Southampton yalifungwa na Oriol Romeu dakika ya 24 na Ryan Bertrand dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
RAW after WrestleMania RESULTS: Seth Rollins and Paul Heyman reveal a third
man, top WWE star turns heel and a major talent returns after five years
away
-
Seth Rollins and Paul Heyman were the talk of the industry on Saturday
night after their stunning heel turn at the close of WrestleMania 41's
night one and...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment