Diego Costa akishangilia baada ya kufunga bao lake la pili jana dakika ya 89, baada ya kufunga lingine dakika ya 53 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard dakika ya tano na Gary Cahill dakika ya 45 na ushei, wakati ya Southampton yalifungwa na Oriol Romeu dakika ya 24 na Ryan Bertrand dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defending tennis champion snubbed by Queen's hits out at lack of 'respect'
after tournament failed to grant her a wildcard one year on from
mum-of-two's heartwarming victory
-
TAMARA PRENN AT QUEEN'S CLUB: The 38-year-old was crowned the Queen of
Queen's last year with her underdog victory in the final against Amanda
Anisimova.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment