Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'They should have taken me to Tottenham!': Why Neil Warnock's return to
management may not be temporary as JAMES SHARPE spends the day with
77-year-old veteran - and referees still aren't safe from an earful!
-
JAMES SHARPE: It didn't take long for Neil Warnock to give the referee a
piece of his mind. Barely five minutes had ticked by when Kai Morgan blew
his whis...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment