Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Snooker's biggest ever match? Why hundreds of millions are set to watch
world champion Zhao Xintong and national hero Ding Junhui lock horns at the
Crucible for quarter-final spot
-
The World Championship clash between Chinese superstars Zhao Xintong and
Ding Junhui could be the most watched snooker match ever.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment