Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bill Belichick Plans to Write Book on Unknown Topic After Patriots
Exit
-
Bill Belichick wasn't known for being a wizard with words in front of a
microphone, but he may have been storing it all up to get out in written
form now t...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment