Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Channel Nine footy reporter Danny Weidler accuses NRL great Braith
Anasta of threatening to BASH him in remarks caught on video
-
Nine and Sydney Morning Herald journalist Danny Weidler has launched a
stunning broadside at former Bulldogs star turned Fox Sports TV host Braith
Anasta.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment