Alexis Sanchez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 42 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Riverside. Bao la pili la Arsenal lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 71, wakati la Boro lilifungwa na Alvaro Negredo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U.S. Apache Crew Rescued After Helicopter Goes Down Near Strait of Hormuz
-
A U.S. Army Apache helicopter went down near the Strait of Hormuz on June
8, triggering a search-and-rescue operation that successfully recovered
both crew...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment