Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Sydney Rabbitohs 12-42 Penrith Panthers: New coach, same problems for
Bunnies in another miserable night
-
The last-placed Rabbitohs ushered in the post-Jason Demetriou era on
Thursday night but it was a case of new coach, same old Souths before 8155
fans at Acc...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment