Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Everton - Premier League: Live score, team news and updates as
Blues look to boost chances of Champions League qualification with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea host Everton at Stamford Bridge in the Premier League.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment