Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defending tennis champion snubbed by Queen's hits out at lack of 'respect'
after tournament failed to grant her a wildcard one year on from
mum-of-two's heartwarming victory
-
TAMARA PRENN AT QUEEN'S CLUB: The 38-year-old was crowned the Queen of
Queen's last year with her underdog victory in the final against Amanda
Anisimova.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment