Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akienda chini baada ya kuangushwa na kipa wa Swansea City, Lukasz Fabianski na refa Neil Swarbrick kuamuru penalti ambayo ilifungwa na Wayne Rooney kuipatia timu yake bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford, kabla ya wageni kusawazisha kupitia kwa Gylfi Sigurdsson dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
49ers Have No Reason to Panic-Trade Jimmy G; Trey Lance Still Has Bright Future
-
The 2022 NFL draft has come and gone, and Jimmy Garoppolo remains a member
of the San Francisco 49ers ...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni