Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akienda chini baada ya kuangushwa na kipa wa Swansea City, Lukasz Fabianski na refa Neil Swarbrick kuamuru penalti ambayo ilifungwa na Wayne Rooney kuipatia timu yake bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford, kabla ya wageni kusawazisha kupitia kwa Gylfi Sigurdsson dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: LeBron James, Anthony Davis React to Lakers Facing Elimination vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers, yet again, have fallen into an 0-3 playoff deficit
against the Denver Nuggets, this time in the first round of the NBA
playoffs. A…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment