Marco Reus na Pierre-Emerick Aubameyang wakipongezana baada ya wote kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 3-2 ugenini dhidi ya Bayern Munich katika Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena, Munich. Reus alifunga la kwanza dakika ya 19, aubameyang la pili dakika ya 69 na la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74, wakati ya Bayern yalifungwa na Javi Martinez dakika ya 28 na Mats Hummels dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Leeds' promotion celebrations: Former Man United youngster in the
thick of it with the mic as players party and fans gather outside Elland
Road in their thousands
-
Daniel Farke 's side were on the brink of returning to the top flight
following their match at Elland Road on the same day, with the league
leaders thrashi...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment