Marco Reus na Pierre-Emerick Aubameyang wakipongezana baada ya wote kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 3-2 ugenini dhidi ya Bayern Munich katika Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena, Munich. Reus alifunga la kwanza dakika ya 19, aubameyang la pili dakika ya 69 na la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74, wakati ya Bayern yalifungwa na Javi Martinez dakika ya 28 na Mats Hummels dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
William's band of villains: How Prince celebrated his team's cup victory in
the company of some of his oldest friends
-
The final whistle in Istanbul last night secured Aston Villa their first
major trophy in 30 years, but also unleashed an intensity of emotion in
Prince Wil...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment