Riyad Mahrez (kulia) akijaribu kuuweka mpira kwenye himaya yake dhidi ya beki wa kati wa Atletico Madrid, Diego Godin katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Saul Niguez alianza kuifungia Atletico dakika ya 26, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 61 na kwa matokeo hayo Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya awali kushinda 2-1 Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James hints at Lakers exit as LA icon refuses to confirm if he's
played his last game for the team after NBA playoff exit against the Denver
Nuggets: 'I'm not going to answer that'
-
The Lakers were beaten 108-106 in the dying seconds by the Nuggets on
Monday night, which condemned them to a 4-1 series loss and ended their
playoff hopes...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment