Riyad Mahrez (kulia) akijaribu kuuweka mpira kwenye himaya yake dhidi ya beki wa kati wa Atletico Madrid, Diego Godin katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Saul Niguez alianza kuifungia Atletico dakika ya 26, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 61 na kwa matokeo hayo Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya awali kushinda 2-1 Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid players 'turn against Carlo Ancelotti and complain to
Florentino Perez over approach against Arsenal' - with Italian 'needing
MIRACLE to avoid sack'
-
Ancelotti, 65, is likely to have just days left in his role after Real
Madrid were dumped out of the Champions League at the quarter-final stage.
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment