Riyad Mahrez (kulia) akijaribu kuuweka mpira kwenye himaya yake dhidi ya beki wa kati wa Atletico Madrid, Diego Godin katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Saul Niguez alianza kuifungia Atletico dakika ya 26, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester dakika ya 61 na kwa matokeo hayo Madrid inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya awali kushinda 2-1 Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Wrexham vs Chelsea on TV? Channel, kick-off time and how to watch FA Cup
tie
-
Everything you need to know as Liam Rosenior’s side take on Wrexham for a
place in the quarter-finals of the FA Cup
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment