Vita ya Wabrazil; Beki wa Chelsea, David Luiz (kulia) akipiga mpira kichwa dhidi ya Mbrazil mwenzake, mshambuliji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushito) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Luiz alianza kuifungia The Bluse dakika ya 24, kabla ya Diego Costa kukosa penalti dakika ya 76 iliyookolewa na kipa Simon Mignolet baada ya Georginio Wijnaldum kuisawazishia Liverpool dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Josh Hart Responds to 76ers' Reed: 'Don't Give a F--k About What He
Said'
-
After Paul Reed made himself public enemy No. 1 for the New York Knicks
leading into their playoff matchup with the Philadelphia 76ers, Josh Hart
had a frank…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment