Shkodran Mustafi wa Arsenal akimvuta jezi Troy Deeney wa Watford (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Watford ilishinda 2-1 ugenini mabao yake yakifungwa na Younes Kaboul dakika ya 10 na Deeney dakika ya 13, wakati la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Kirk Cousins Got 'Cursory' Look from Steelers Before Russell
Wilson Deal
-
Before dramatically overhauling their quarterback room this offseason, the
Pittsburgh Steelers initially gauged the possibility of signing Kirk
Cousins in…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment