Mshambuliaji Diego Costa wa Chelsea (19) akishangilia na wachezaji wenzake, Victor Moses na Branislav Ivanovic baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 81 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Liberty mjini Swansea. Costa pia alifunga bao la kwanza la Chelsea dakika ya 18, wakati mabao ya Swansea yalifungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 59 na Leroy Fer dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mexican police use tear gas and pepper spray on gatecrashers in chaotic
scene at World Cup fan fest
-
Mexican police were seen pepper spraying and tear gassing fans as they
attempted to break into a popular fan fest at Monterrey's Parque Fundidora.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment