Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus dakika za 87 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What did Antony's celebration against Burnley mean?
-
Our Brazilian forward has revealed all following his strike against the
Clarets.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment