Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus dakika za 87 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment