Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura (kulia) akipokea jezi ya timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo kutoka kwa Katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine (katikati) wakati alipotembela ofisi za TFF kujionea shughuli mbalimbali zinazondeshwa na shirikiso hilo pamoja na kambi ya Twiga Stars. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Sheikh Said Mohammed.
Eagles' Saquon Barkley Tells Giants Fans He 'Never Got' Contract Offer to
Return
-
Philadelphia Eagles running back Saquon Barkley said Thursday night that
the New York Giants never made him a formal contract offer before he signed
with the…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment