Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura (kulia) akipokea jezi ya timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo kutoka kwa Katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine (katikati) wakati alipotembela ofisi za TFF kujionea shughuli mbalimbali zinazondeshwa na shirikiso hilo pamoja na kambi ya Twiga Stars. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Sheikh Said Mohammed.
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment