Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura (kulia) akipokea jezi ya timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars leo kutoka kwa Katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine (katikati) wakati alipotembela ofisi za TFF kujionea shughuli mbalimbali zinazondeshwa na shirikiso hilo pamoja na kambi ya Twiga Stars. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Sheikh Said Mohammed.
Beverley Callard trying to be ‘brave and strong’ in ‘weird’ cancer update
-
Coronation Street icon Beverley Callard has said she is trying to be "brave
and strong" after a "weird" cancer update. The 69-year-old, who played
Rovers R...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment