Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akimsukuma mpinzani wake, Jose Mourinho wa Chelsea wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo leo. Chelsea imeshinda 2-0. Wenger ni Mourinho ni wapinzani wa muda mrefu.
Arsene Wenger akimfuata kocha wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya Cahil kumchezea rafu Sanchez
Mtafaruku wa makocha huo uliteks hisia za wengi Uwanja wa Stamford Bridge, ingawa mwisho wa mchezo Wenger alikuwa mnyonge baada ya Arsenal kufungwa
Restructuring of FAMACO
-
The Federation of Uganda Football Associations (FUFA) is committed to
professionalising and advancing football administration and management in
Uganda. I...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment