• HABARI MPYA

    Sunday, October 05, 2014

    WENGER ATAKA 'KUMCHAPA' MOURINHO STAMFORD BRIDGE


    Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akimsukuma mpinzani wake, Jose Mourinho wa Chelsea wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo leo. Chelsea imeshinda 2-0. Wenger ni Mourinho ni wapinzani wa muda mrefu.
    Arsenal manager Arsene Wenger advances on Chelsea boss Jose Mourinho after the former complained about a nasty tackle from Cahil on Sanchez
    Arsene Wenger akimfuata kocha wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya Cahil kumchezea rafu Sanchez
    The scrap between the two managers certainly raised the atmosphere at Stamford Bridge, and Wenger was even more unhappy when Arsenal fell behind soon after
    Mtafaruku wa makocha huo uliteks hisia za wengi Uwanja wa Stamford Bridge, ingawa mwisho wa mchezo Wenger alikuwa mnyonge  baada ya Arsenal kufungwa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WENGER ATAKA 'KUMCHAPA' MOURINHO STAMFORD BRIDGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top