Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger (kushoto) akimsukuma mpinzani wake, Jose Mourinho wa Chelsea wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo leo. Chelsea imeshinda 2-0. Wenger ni Mourinho ni wapinzani wa muda mrefu.
Arsene Wenger akimfuata kocha wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya Cahil kumchezea rafu Sanchez
Mtafaruku wa makocha huo uliteks hisia za wengi Uwanja wa Stamford Bridge, ingawa mwisho wa mchezo Wenger alikuwa mnyonge baada ya Arsenal kufungwa
How can I watch West Ham v City on TV?
-
Find out how you can watch City’s Premier League encounter with West Ham
from wherever you are in the world.Our attention turns back to the league
as we fa...
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment