![]() |
| Kiungo wa Yanga SC, Andrey Coutinho akimiliki mpira mbele ya beki wa Simba SC, William Lucian 'Gallas' |
![]() |
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Genilson Santana 'Jaja' akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Simba SC |
![]() |
| Kipa kinda, Peter Manyika (kulia) akipongezwa na kipa wa kwanza wa timu hiyo, Ivo Mapunda baada ya kumaliza dakika 90 za mpamano dhidi ya Yanga SC bila kugungwa |
![]() |
| Jaja akijiandaa kupiga mpira mbele ya Gallas |
![]() |
| Beki wa Simba SC, Mohamed Hussein Tshabalala akimzuia mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa |
![]() |
| Kipa Peter Manyika kulia akimsindikiza kiungo wake, Jonas Mkude wakati anatoka nje baada ya kuumia |









.png)
0 comments:
Post a Comment