• HABARI MPYA

    Thursday, October 16, 2014

    CANNAVARO ALIPOMTIA 'LOBA' COUTINHO MAZOEZINI YANGA SC LEO

    Beki wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro' kushioo akimdhibiti kiungo wa timu hiyo, Mbrazil Andrey Coutinho wakati wa mazoezi ya jioni Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam. Yanga SC inajiadaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wakubwa, Simba SC Jumamosi.
    Ilianzia hapa, Coutinho alipiga hesabu za 'kumchukua' Cannavaro lakini alipojaribu kufanya hivyo akatiwa 'loba'. Cannavaro leo amefanya mazoezi kikamilifu baada ya kuwa majeruhi kwa wiki yote hii  akifanya mazoezi mepesi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CANNAVARO ALIPOMTIA 'LOBA' COUTINHO MAZOEZINI YANGA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top