// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SOUTHAMPTON YASAINI WAWILI KWA MPIGO, KOEMAN SASA AIMARISHA KIKOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SOUTHAMPTON YASAINI WAWILI KWA MPIGO, KOEMAN SASA AIMARISHA KIKOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, August 15, 2014

    SOUTHAMPTON YASAINI WAWILI KWA MPIGO, KOEMAN SASA AIMARISHA KIKOSI

    KLABU ya Southampton imesajili wachezaji wawili, Shane Long kwa Pauni Milioni 12 kutoka Hull City na Florin Gardos kutoka Steaua Bucharest ya Romania.
    Long, mwanasoka wa kimataifa wa Jamhuri ya Ireland na Mromania Gardos wanafanya jumla ya wachezaji wapya saba kusajiliwa St Mary na kocha Ronald Koeman. 
    Koeman tayari amewanunua Ryan Bertrand, Fraser Forster, Graziano Pelle, Dusan Tadic na Saphir Taider katika jitihada za kukisuka upya kikosi chake baada ya kuuza wachezaji kadhaa.  

    Mtakatifu Shane: Long amesaini kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 12 Southampton kutoka Hull

    Kwa upande wake, Gardos mwenye umri wa miaka 25, amesaini mkataba wa miaka mine kutoka kwa mabingwa wa Romania, Steaua Bucharest. 
    Na akimzungumzia mchezaji huyo kwenye tovuti ya klabu hiyo, kocha Koeman alisema: "Nimefurahi sana kumpata Florin hapa,". 
    Done deal: Southampton have completed the signign of Romania defender Florin Gardos on a four-year deal
    Florin Gardos amesaini Mkataba wa miaka minne
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SOUTHAMPTON YASAINI WAWILI KWA MPIGO, KOEMAN SASA AIMARISHA KIKOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top