TIMU ya Real Madrid imetanguliza mguu mmoja katika Fainali ya Kombe la Mfalme kufuatia ushindi wa mabao 3-0 dhid ya Atletico Madrid katika Nusu Fainali ya kwanza Uwanja wa Santiago Bernabeu.
Mabao ya Real yalifungwa na Insua aliyejifunga dakika ya 17, Jese dakika ya 57 na Di Maria dakika ya 73. Sasa Real inaweza ikakutana katika Fainali na wapinzani wao wakubwa Hispania, Barcelona ambao nao pia jana waliifunga 2-0 Real Sociedad.
Cristiano Ronaldo akionyesha mavitu yaliyompa Ballon d'Or winner
Pepe akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid jana



.png)
0 comments:
Post a Comment