• HABARI MPYA

    Tuesday, November 19, 2013

    YANGA SC NA COASTAL KATIKA PICHA LEO KARUME

    Wachezaji wa Yanga SC wakiwapungia mikono mashabiki wao baada ya mechi ya mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kwa timu za Ligi Kuu ya Bara, maarufu kama Kombe la Uhai, dhidi ya Coastal Union ya Tanga, ambayo walishinda 1-0 Uwanja wa Karume, Dar es Salaam asubuhi ya leo.  





    Benchi la Coastal


    Dua

    Wanaondoka baada ya ushindi

    Benchi la Yanga

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA COASTAL KATIKA PICHA LEO KARUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top