• HABARI MPYA

    Saturday, November 16, 2013

    UFARANSA HATARINI KUKOSA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MIAKA 20

    UFARANSA imejiweka hatarini ya kukosa fainali za kwanza za Kombe la Dunia baada ya miaka 20, kufuatia kipigo cha mabao 2-0 mbele ya Ukraine usiku huu.
    Katika mchezo huo ambao Ufaransa ilimpoteza Koscielny aliyetolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 90, mabao ya Ukraine yalifungwa na Roman Zozulya dakika ya 61 na Andriy Yarmolenko kwa penalti dakika ya 83.
    Kikosi cha Ukraine kilikuwa: Pyatov, Khacheridi, Shevchuk, Fedetskiy, Kucher, Yarmolenko, Stepanenko, Konoplyanka/Gusev dk90, Rotan, Edmar/Bezus dk76, Zozulya/Seleznyov dk86. 
    Ufaransa: Lloris, Debuchy, Abidal, Koscielny, Evra, Nasri (Valbuena 80), Matuidi, Pogba, Giroud/Benzema dk70, Ribery, Remy/Sissoko dk64.

    Joto hasira: Beki wa Ufaransa, Laurent Koscielny akizinguana na Oleksandr Kuch
    Head case: Koscielny clashes with Ukraine midfielder Yevhen Konoplyanka
    France's defender Laurent Koscielny (R) argues with Ukraine's defender Oleksandr Kucher
    Koscielny akiwekeana mikwara na kiungo wa Ukraine, Yevhen Konoplyanka
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA HATARINI KUKOSA KOMBE LA DUNIA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MIAKA 20 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top