• HABARI MPYA

    Saturday, November 16, 2013

    ENGLAND YAFUMULIWA 2-0, AIBU TUPU JAPO LAMPARD...

    MABAO mawili ya Alexis Sanches yameipa Chile ushindi wa 2-0 dhidi ya England Uwanja wa Wembley usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa.
    Sanchez alifunga mabao hayo katika dakika za saba na dakika ya tano ya muda wa nyongeza baada ya kutimu dakika 90.
    Kikosi cha England kilikuwa: Forster, Johnson, Baines, Milner/Defoe dk66, Cahill, Jones/Smalling dk57, Wilshere/Cleverley dk71, Lampard/Henderson dk71, Lallana/Barkley dk77, Rooney na Rodriguez/Townsend dk57.
    Chile: Bravo, Mena, Gonzalez, Isla/Jara dk59, Fernandez/Gutierrez dk46, Beausejour/Fuenzalida dk82, Medel, Aranguiz/Carmona dk46, Diaz, Alexis, Vargas/Munoz dk71.

    Nyota wa mchezo: Alexis Sanchez amefunga mabao yote mawili yaliyoizamisha England
    Winner: Sanchez headed the visitors in front after seven minutes, leaving debutant Fraser Forster stranded
    Mshindi: Sanchez akiwafungia bao la kwanza washindi
    Chile
    Special moment: Frank Lampard receives a golden cap from his dad to mark his 100th apperance
    Wakati maalum: Frank Lampard alipewa tunu ya dhahabu baada ya kuichezea mechi ya 100 England
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND YAFUMULIWA 2-0, AIBU TUPU JAPO LAMPARD... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top