Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's title race is done - Hayes
-
Chelsea manager Emma Hayes believes the race for the Women's Super League
title is "done" after her side were beaten 4-3 at Liverpool on Wednesday.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment