Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Imbuto Foundation to mark 20 years of impacting lives in Rwanda
-
The Imbuto Foundation is set to celebrate 20 years of existence, impacting
lives in Rwanda.
Founded in 2001 by the First Lady Jeanette Kagame, the founda...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment