Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Curtis Jones closes in on Inter Milan move - with midfielder
set for medical today ahead of signing five-year deal: WINDOW WATCH
-
The transfer window is now open until September 1 and it's sure to be a
busy period as clubs look to make big signings ahead of the new season.
Here are to...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment