Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronald Koeman RESIGNS as Netherlands head coach hours after World Cup exit
following shootout defeat by Morocco
-
Koeman, 63, announced on Instagram that he was stepping down hours after
they were beaten by Morocco in a penalty shootout.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment