Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment