Kiungo wa Yanga SC, Juma Mahadhi akimtoka kiungo wa Township Rollers ya Botswana, Kaone Vanderwesthuisen katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Rollers ilishinda 2-1.
Beki wa Township Rollers akiokoa mpira mbele ya kiungo wa Yanga, Pius Charles Buswita
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akiuwahi mpira dhidi ya mchezaji wa Rollers
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Rollers, Mthokozisi Msomi
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akiwatoka wachezaji wa Rollers
Beki wa Yanga, Kevin Yondan akiokoa mbele ya beki wa Rollers, Mthokozisi Msomi
Kipa wa Township Rollers, Keeagile Kgosipula akiokoa mpira uliokuwa unaelekea nyavuni kuinyima bao la wazi Yanga
Refa Pacifique Ndabihawenimana wa Burundi (kulia) akielekeza mpira upigwe wapi baadhi ya wachezaji kuchezeana rafu
Kikosi cha Yanga kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Township Rollers kabla ya mchezo wa jana Dar es Salaam
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment