Bondia Mmaerekani Deontay Wilder (kulia) akimtazama mpinzani wake, Luis Ortiz wa Cuba anayekwenda chini kushoto baada ya kmumuangusha katika raundi ya 10 kwenye pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa usiku wa jana ukumbi wa Barclays Center mjini New York, Marekani. Wilder alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya 10 na kutetea taji lake la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: LeBron James, Anthony Davis React to Lakers Facing Elimination vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers, yet again, have fallen into an 0-3 playoff deficit
against the Denver Nuggets, this time in the first round of the NBA
playoffs. A…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment