Bondia Mmaerekani Deontay Wilder (kulia) akimtazama mpinzani wake, Luis Ortiz wa Cuba anayekwenda chini kushoto baada ya kmumuangusha katika raundi ya 10 kwenye pambano la uzito wa juu ngumi za kulipwa usiku wa jana ukumbi wa Barclays Center mjini New York, Marekani. Wilder alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya 10 na kutetea taji lake la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: How Marc Cucurella has gone from being a target of boo boys to
playing a crucial part in Chelsea's push for Europe... and his midfield
role shows why Pep Guardiola wanted him at Man City
-
Long after full-time, once Stamford Bridge had emptied to leave only the
cleaners in the stands, Paul Winstanley and Laurence Stewart emerged from
the tunn...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment